Siasa za vyama nchini Kenya kuelekea Uchaguzi Mkuu
Imechapishwa:
Sauti 10:11
Kenya inajiandaa kuwa na Uchaguzi Mkuu mwaka 2022. Vyama vya siasa vimeanza maandalizi kujiweka tayari kwa uchaguzi huo. Lakini je, vyama hivi vimejiandaa vya kutosha ? Tunajadili.