Uandishi wa vitabu nchini Tanzania
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 20:12
Umahiri katika Sanaa ya Utunzi wa Vitabu, inabebwa na Maudhui yalimo ndani ya kitabu inawaje Jina la kitabu ndio husadifu yaliyomo katika kurasa za kitabu hicho. Kutana na Ismaily Him Mtunzi wa Vitabu Tanzania, Mtunzi wa Vitabu Usasa Usasambu, Wakilia Wanacheka majina ya Vitabu yanayovutia.