Nyumba ya Sanaa

Sanaa ya muziki wa reggae katika tamaduni za kiafrika na manufaa yake

Imechapishwa:

Makala ya nyumba ya sanaa imeangazia sanaa ya muziki wa reggae kutoka DRC ambapo pamoja na mwanamuziki Black Sadja Mayani tumeangazia manufaa ya muziki huu katika kukuza tamaduni za kiafrika na urithi wa mababu zetu.Ungana na mwandishi wetu Steaven Mumbi kusikiliza zaidi

Msanii wa muziki wa reggae Black Sadja kulia akicheka pamoja na mwenzake kutoka kundi RASTA OURAN jijini Butembo DRC February 2018
Msanii wa muziki wa reggae Black Sadja kulia akicheka pamoja na mwenzake kutoka kundi RASTA OURAN jijini Butembo DRC February 2018 © Ruben Lukumbuka/RFI Kiswahili