Fahamu mengi kuhusu Said Mbelwa mwana masumbwi wa Tanzania aliyepambana katika pambano la amani huko Kabul Afghanistan.
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 19:50
Katika makala haya Jumapili hii Vivtor Abuso amezungumza na Saidi Mbelwa mwana masumbwi wa Tanzania aliyepambana katika pambano la amani huko Kabul nchini Afghanistan juma hili.Karibu