Jukwaa la Michezo

Fahamu yaliyojiri uwanjani kati ya watani wa jadi Simba na Yanga

Imechapishwa:

Katika makala haya ungana na Victor Abuso kufahamu mambo yaliyojili katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam wakati wa mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga kukamilisha ligi kuu ya Vodacom nchini Tanzania.Karibu

Journal des sports
Journal des sports © Studio Graphique FMM