Jukawaa la Michezo
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 20:46
Jumapili hii katika Jukwaa la Michezo sikiliza uchambuzi kumhusu mchezaji wa mchezo wa Kikapu Bismack Biyombo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo anayecheza katika ligi ya NBA nchini Marekani, kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu ya soka Tanzania bara na pia kuhusu mchuano wa ligi kuu ya soka nchini Kenya kati ya watani wa jadi Gor Mahia na AFC Leopards.Ungana na Victor Abuso kwa uchambuzi wa kina.