Jukwaa la Michezo

Uchambuzi wa matukio makubwa ya michezo viwanjani juma hili

Imechapishwa:

Jumapili hii katika Jukwaa la Michezo, utasikia uchambuzi wa matukio makubwa yaliyotokea viwanjani juma hili.Miongoni mwa maswala hayo ni pamoja na kesi ya mwanariadha Mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, michuano ya soka kufuzu kwa michuano ya mataifa bingwa barani Afrika na tangazo la rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter kuwa atawania urais mwaka ujao. 

Oscar Pistorius wakati wa mashindano ya Olimpiki 2012 jijini London
Oscar Pistorius wakati wa mashindano ya Olimpiki 2012 jijini London REUTERS/Dylan Martinez
Vipindi vingine