Jukwaa la Michezo

Gabon kuwa wenyeji wa michuano ya AFCON 2017

Imechapishwa:

Juma hili katika Jukwaa la Michezo tunaangazia Gabon kupewa wenyeji wa michuano ya soka kuwania taji la bara Afrika mwaka 2017 na droo ya michuano ya kufuzu katika michuano hiyo.  

Vipindi vingine