Jukwaa la Michezo

Iko wapi nafasi ya soka la vijana na wanawake kwenye ukanda wa Afrika Mashariki

Imechapishwa:

Makala ya Jukwaa la Michezo juma hili inazungumza na mwalimu wa soka, John William maarufu kama Del Pierro na tunaangazia soka la vijana na wanawake kwenye ukanda wa nchi za Afrika Mashariki, wapi tunaelekea?

Kikosi cha timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria ambao ndio mabingwa watetezi
Kikosi cha timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria ambao ndio mabingwa watetezi cafonline.net
Vipindi vingine