Jukwaa la Michezo

TP Mazembe ndio mabingwa wa taji la Shirikisho barani Afrika mwaka 2016

Imechapishwa:

TP Mazembe ndio mabingwa wa taji la Shirikisho barani Afrika taji walilopata mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuifunga MO Bejaia ya Algeria mwa jumla ya mabao 5-2. Tunajadili kwa kina mafanikio haya ya klabu hii kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

TP Mazembe, mabingwa wa taji la Shirikisho barani Afrika mwaka 2016 baada ya kushinda taji hilo Novemba 6 2016
TP Mazembe, mabingwa wa taji la Shirikisho barani Afrika mwaka 2016 baada ya kushinda taji hilo Novemba 6 2016 STRINGER / AFP
Vipindi vingine