TP Mazembe imefanikiwa kushinda tena taji la Shirikisho barani Afrika, baada ya kuishinda SuperSport United ya Afrika Kusini kwa jumla ya mabao 2-1 baada ya fainali mbili kutafuta taji hilo.Fainali ya pili, Mazembe haikufungana na wapinzani wao Supersport United ya Afrika Kusini.Tunachambua ushindi huu