Soka la vijana lina nafasi kubwa katika kuinua maendeleo ya mchezo huo nchini Tanzania. Kituo cha Mandozi Sports Academy kilichopo Kirumba Mkoani Mwanza, Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo kimejikita kukuza vipaji hasa kwa vijana chipukizi.Mwandalizi wa makala haya ni Fredrick Nwaka.