Kenya waibuka mabingwa wa taji la CECAFA 2017
Imechapishwa:
Sauti 23:24
Kenya ndio mabingwa wa taji la soka la CECAFA, baina ya mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, baada ya kuishinda Zanzibar kwa mabao 4-3 kupitia mikwaju ya penalti. Hili ni taji lake la saba.