Watani wa jadi Simba na Yanga washindwa kufungana
Imechapishwa:
Sauti 23:16
Watani wa jadi katika mchezo wa soka nchini Tanzania Simba na Yanga walishindwa kufungana katika mchezo muhimu wa ligi kuu, Tanzania bara. Tunajadili mechi hii kwa undani namna ilivyokuwa.