Hatua ya CAF kuongeza timu za Tanzania itatoa changamoto kwa timu za Afrika mashariki?
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 23:09
Shirikisho la kandanda Afrika limeongeza timu za Tanzania katika michuano ya ngazi ya klabu barani Afrika. Je hatua hii ina maana gani katika soka la Tanzania na Afrika mashariki?