Gurudumu la Uchumi

Changamoto za malengo ya milenia

Imechapishwa:

Ikiwa imebaki miaka minne  kufikia mwaka 2015, mwaka ulio kikomo cha kuyafikia malengo ya milenia yaliyowekwa na nchi mbalimbali duniani, Bado nchi nyingi za kiafrika zinakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo ni kikwazo katika kufikia azma hiyo kwa muda muafaka.

Emmanuel Makundi, Mtangazaji na mtayarishaji wa makala ya Gurudumu la Uchumi
Emmanuel Makundi, Mtangazaji na mtayarishaji wa makala ya Gurudumu la Uchumi RFIkiswahili