Mjadala wa Wiki

Kujisalimisha kwa Bosco Ntaganda katika ubalozi wa Marekani nchini Rwanda

Imechapishwa:

Mjadala wa wiki juma hili yanajadili hatua ya kiongozi wa makundi ya uasi Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo  katika Ubalozi wa Marekani nchini Rwanda. Ungana na Emmanuel Makundi kwa uchambuzi zaidi.

Vipindi vingine