Gurudumu la Uchumi

Mkutano wa kimataifa wa kiuchumi Afrika Kusini na yale yaliyoazimiwa na viongozi

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala hii, juma hili ameangazia mkutano wa kimataifa wa uchumi wa World Economic Forum uliofanyika nchini Afrika Kusini ambapo viongozi wa bara hilo walikubaliana kuhusu kutungwa kwa sheria zinazolinda nishati za kuzalisha umeme kwa nchi wanachama.

Mmoja wa waasisi wa taifa la Afrika Kusini na mwanaharakati, mchungaji Desmond Tutu
Mmoja wa waasisi wa taifa la Afrika Kusini na mwanaharakati, mchungaji Desmond Tutu Reuters
Vipindi vingine