Gurudumu la Uchumi

Deni laendelea kuongezeka Tanzania

Imechapishwa:

Mtangazaji wa gurudumu la uchumi juma hili amezungumzia kuhusu kuendelea kuongezeka kwa deni la taifa nchini Tanzania. Amezungumza na mchambuzi wa masuala ya uchumi dr Oswald Mashindano ambaye anafafanua dhana hii, karibu usikilize sehemu ya kwanza ya mjadala huu.Ungana na Emmanuel Makundi.........

Bendera ya taifa la Tanzania
Bendera ya taifa la Tanzania RFI
Vipindi vingine