Taharuki Mpeketoni Kenya baada ya shambulizi la kigaidi
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 10:04
Makala ya habari rafiki hii leo inawaangazia wakenya ambao wanatoa hisia zao kufuatia muendelezo wa mashambulizi ya kigaidi katika Pwani ya Kenya eneo la Mpeketoni ambapo wanaume 48 wamepoteza maisha na mali kuharibiwa.