Gurudumu la Uchumi

Tamati ya mkutano kati ya viongozi wa Afrika na Marekani

Imechapishwa:

Juma hili kwenye makala ya Gurudumu la uchumi tunaangazia mkutano wa wakuu wa nchi za Afrik walioufanya na rais wa Marekani Barack Obama, mkutano uliolenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizi na Marekani.Je mkutano huu ulikuwa na tija yoyote kufanyika kwa wakati huu? Sikiliza makala haya kupata uchambuzi wa kina.

Barack Obama anunciou o plano de investimentos e parcerias na África nesta terça-feira, durante a reunião de cúpula com líderes do continente africano.
Barack Obama anunciou o plano de investimentos e parcerias na África nesta terça-feira, durante a reunião de cúpula com líderes do continente africano. REUTERS/Larry Downing
Vipindi vingine