Machinga wanahitaji elimu ya ujasiriamali
Imechapishwa:
Sauti 08:53
Mtangazaji wa makala hii juma hili ameangazia changamoto ambazo wanakabiliana nazo wafanyabiashara wadogo katika miji mikuu nchini Tanzania, wengi wanadai hawana elimu ya kutosha ya ujasiriamali.