Uimarishwaji wa uchumi kupitia utalii wa ndani
Imechapishwa:
Sauti 10:10
Wananchi wa Kenya wanatumia kipindi hiki cha Krismasi na mwaka mpya kutalii hasa Pwani ya nchi hiyo, wakati huu watalii wa kigeni hasa kutoka barani Ulaya wakiepuka eneo hilo kwa hofu ya kiusalama.Utalii wa ndani unaweza kusaidia vipi kuinua uchumi wa nchi za Afrika Masharki na kwingineko barani Afrika ?