Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili imeangazia ripoti ya mwaka mmoja kuhusu mpango wa Serikali ya Tanzania "Matokeo Makubwa Sasa" mpango ambao unaelezwa kuwa na mafanikio katika kilimo.
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili imeangazia ripoti ya mwaka mmoja kuhusu mpango wa Serikali ya Tanzania "Matokeo Makubwa Sasa" mpango ambao unaelezwa kuwa na mafanikio katika kilimo.