Hali ya wasiwasi imetanda katika kaunti ya Mandera kaskazini mwa Kenya kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya kundi la Al Shabab mpakani mwa kenya na Somalia,Uongozi wa Kaunti umepoteza matumaini ya usalama kuimarika.
Hali ya wasiwasi imetanda katika kaunti ya Mandera kaskazini mwa Kenya kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya kundi la Al Shabab mpakani mwa kenya na Somalia,Uongozi wa Kaunti umepoteza matumaini ya usalama kuimarika.