Gurudumu la Uchumi

Mzozo wa kiuchumi kati ya Tanzania na Kenya kuhusu watalii

Imechapishwa:

Juma hili msikilizaji wa rfikiswahili, makala ya Uchumi inaangazia mzozo wa kiuchumi ulioibuka baina ya Serikali ya Tanzania na Kenya kuhusu kuingia kwa watalii kwenye mpaka wa mbuga za Arusha hali iliyofanya kuzuiwa kwa magari ya Tanzania kuingia Kenya.

Sehemu ya Tembe wanaopatikana kwenye mbuga za Afrika Mashariki na kuvutia watalii wengi
Sehemu ya Tembe wanaopatikana kwenye mbuga za Afrika Mashariki na kuvutia watalii wengi Tanzania Govt
Vipindi vingine