Gurudumu la Uchumi

Ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali nchini Tanzania na aliyoyaibua

Imechapishwa:

Mtayarishaji wa makala haya juma hili ameangazia kuhusu ripoti ya mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za Serikali nchini Tanzania, mapendekezo yake na mapungufu ambayo yaliibuliwa kwenye ofisi za Serikali na mkaguzi wa uma.

Mkaguzi wa hesabu za Serikali akimkabidhi rais Magufuli ripoti yake
Mkaguzi wa hesabu za Serikali akimkabidhi rais Magufuli ripoti yake Ikulu/Tanzania