Gurudumu la Uchumi

Matumizi sahihi ya teknolojia ni jibu la uchumi wa Afrika

Imechapishwa:

Mtangazaji wa makala haya juma hili ameangazia yaliyojiri kwenye mkutano wa kimataifa wa kiuchumi wa World economic Forum uliofanyika jijini Kigali, Rwanda na kuhudhuriwa na wakuu mbalimbali wa nchi.

CYRIL NDEGEYA / AFP