Gurudumu la Uchumi

Ushindi wa Trump unaashiria nini kwa uchumi wa dunia

Imechapishwa:

Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili imeangazia ushindi wa mgombea wa chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump, ambaye amemuangusha vibaya mgombea wa Democrat, Hillary Clinton, ambaye amekubali kushindwa.Ushindi wa Donald Trump unaashiria nini kwa uchumi na usalama wa dunia? ungana na mtayarishaji wa makala haya kufahamu mengi.

Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, wakati akiwa mjini Manhattan baada ya kutoa hotuba ya ushindi wake, 9 Novemba 2016.
Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, wakati akiwa mjini Manhattan baada ya kutoa hotuba ya ushindi wake, 9 Novemba 2016. REUTERS
Vipindi vingine