Gurudumu la Uchumi
Seheumu 1: Utandawazi umeleta mabadiliko ya kiuchumi au unaendelea kubomoa
Imechapishwa:
Cheza - 08:45
Mtangazaji wa makala haya, juma hili amezungumza na wataalamu wa masuala ya uchumi, katika sehemu ya kwanza ya mjadala kuhusu "Utandawazi", na swali la msingi ni je, Utandawazi umesaidia kuimarisha uchumi wa dunia, ama ni wachache tu wanaonufaika na maendeleo ya utandawazi? Ungana na mtayarishaji wa makala haya akizungumza na Profesa Hamfrey Moshi na Dr Wetengere Kitojo.