Katika Habari Rafiki leo tunatupia jicho uteuzi wa waziri mkuu mpya nchini Uingereza, Theresa May, usawa wa kijinsia na athari za mfumo dume. Wasikilizaji wanateta na kutoa maoni yao juu ya uteuzi huo wa muhimu sio tu kwa Ulaya bali duniani kwa ujumla, hususan, mfano mzuri juu ya mwanamke kuwa anaweza pia.
Vipindi vingine
-
Habari RFI-Ki CAR kuandaa kura ya maoni kuhusu katiba mpya, itakayomruhusu rais Touadera kuwania urais 2025.01/06/2023 09:30
-
01/06/2023 09:32
-
30/05/2023 09:29
-
Habari RFI-Ki Shambulio la Al Shabaab katika kambi ya kijeshi inayokaliwa na wanajeshi wa Uganda, nchini Somalia.29/05/2023 09:38
-
Habari RFI-Ki maoni yako kuhusu taarifa zetu juma hili Kila siku ya Ijumaa rfi Kishwahili inakupa nafasi ya kuchangia mada yoyote ile unayoipenda katika makala Habari Rafiki.19/05/2023 09:59