Habari RFI-Ki

Waziri Mkuu mpya na mwanamke nchini Uingereza

Imechapishwa:

Katika Habari Rafiki leo tunatupia jicho uteuzi wa waziri mkuu mpya nchini Uingereza, Theresa May, usawa wa kijinsia na athari za mfumo dume. Wasikilizaji wanateta na kutoa maoni yao juu ya uteuzi huo wa muhimu sio tu kwa Ulaya bali duniani kwa ujumla, hususan, mfano mzuri juu ya mwanamke kuwa anaweza pia.

Theresa May, Waziri Mkuu mpya wa Uingereza.
Theresa May, Waziri Mkuu mpya wa Uingereza. REUTERS/Andrew Yates/File Photo
Vipindi vingine
  • Image carrée
    01/06/2023 09:30
  • Image carrée
    01/06/2023 09:32
  • Image carrée
    30/05/2023 09:29
  • Image carrée
    29/05/2023 09:38
  • Image carrée
    19/05/2023 09:59