Kutana na msanii wa nyimbo za jadi kutoka Tanzania,Costa Siboka
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 20:00
Nyumba ya sanaa safari hii inakutana na msanii wa nyimbo za asili kutoka kisiwa cha ukerewe Mwanza Tanzania,anajulikana kama mfalme Siboka,.anakujuza mengi kuhusu sanaa hiyo..pata uhondo