Lokua Akanza mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Imechapishwa: Imehaririwa:
Sauti 10:00
Makala ya juma hili ya Muziki Ijumaa yanamwangazia msaani, Lokua Akanza kutoka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambaye kwa sasa anaishi nchini Ufaransa.Ungana na Lizzy Masinga kwa burundani zaidi.