Nyumba ya Sanaa
Nyumba ya Sanaa na mkongwe wa muziki nchini Tanzania Kassin Said Mapili
Imechapishwa:
Cheza - 19:57
Juma hili katika makala ya Nyumba ya Sanaa tutakuwa na Mwanamuziki mkongwe wa nchini Tanzania Kassim Saili Mapili alitetembelea studio za RFI Kiswahili, sikiliza zaidi upate kujua historia na mwelekeo wa sanaa ya muziki kwa nchi ya Tanzania.