Muziki ijumaa Juma hili, Ali Bilali anazungumza na msanii wa Bongo Fleva Mo Muzic ambaye anakuja kwa kasi katika Muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania. Mo Muzic kwa sasa anatamba na Kibao chake Basi Nenda.
Muziki ijumaa Juma hili, Ali Bilali anazungumza na msanii wa Bongo Fleva Mo Muzic ambaye anakuja kwa kasi katika Muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania. Mo Muzic kwa sasa anatamba na Kibao chake Basi Nenda.