Edwin Semzaba ni mtanzania mtunzi wa vitabu, mwandishi wa tamthilia na riwaya, muigizaji na mtayarishaji. Pia ni mkufunzi katika Idara ya Sanaa na Maigizo katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, nchini Tanzania. Ushinda tuzo ya kwanza ya waandishi wa Afrika Mashariki iliyotolewa na Taasisi ya Unchunguzi wa Kiswahili, TUKI na pia tuzo ya Ubalozi wa Swiden nchini Tanzania mwaka 2007 na hapa anazungumzia fursa na changamoto zilizopo sasa katika tasnia ya sanaa afrika mashariki na kati.
Vipindi vingine
-
Nyumba ya Sanaa Sanaa ya uchoraji visiwani Zanzibar Uchoraji ni Sanaa ya Urithi, kutoka Mji Mkongwe visiwani Zanzibar urithi wa sanaa hiyo umetamalaki, Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akiangazia sanaa hiyo.06/05/2023 20:06
-
Nyumba ya Sanaa Sagna: Msani wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania Sagna ni miongoni mwa wasanii wachache kutoka kanda ya ziwa wanaofanya sanaa ya Muziki wa kizazi kipya, anapambana kufanikiwa licha ya changamoto. Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.22/04/2023 20:02
-
Nyumba ya Sanaa Sanaa ya Muziki na Zach Music Kwenye Makala ya wiki hii Steven Mumbi anazungumza naye Zach Music kuhusu masuala ya sanaa ya Muziki.13/03/2023 20:04
-
Nyumba ya Sanaa SANAA NA ELIZABERT PASTORY KUHUSU USHAIRI Kwenye makala ya wiki hii Steven Mumbi amezungumza naye Elizabert Pastory kuhusu Ushairi.13/03/2023 20:01
-
13/03/2023 20:08