Muziki Ijumaa

Papa Wemba afunga ndoa na Mkewe baada ya miaka 44

Imechapishwa:

Tarehe nani ya mwezi wa nane mwanamuziki mongwe wa muziki wa Rhumba na mfalme wa mavazi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Papa Wemba, alihalalisha ndoa yake na mkewe Amazone katika kanisa kuu jijini Kinshasa, wageni kutoka maeneo mbalimbali duniani wamehudhuria sherehe hizo, katika Makala haya Ali Bilali anatujuza kuhusu ndoa hiyo. usikosi pia kumfollow kupitia facebook: Billy Bilali na Instagram: billy_bilali

Papa Wemba na mke wake Amazone
Papa Wemba na mke wake Amazone
Matangazo ya kibiashara

Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00