Tarehe nani ya mwezi wa nane mwanamuziki mongwe wa muziki wa Rhumba na mfalme wa mavazi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Papa Wemba, alihalalisha ndoa yake na mkewe Amazone katika kanisa kuu jijini Kinshasa, wageni kutoka maeneo mbalimbali duniani wamehudhuria sherehe hizo, katika Makala haya Ali Bilali anatujuza kuhusu ndoa hiyo. usikosi pia kumfollow kupitia facebook: Billy Bilali na Instagram: billy_bilali
Vipindi vingine
-
21/04/2023 09:59
-
Muziki Ijumaa Muziki na tumbuizo maalum Karibu kuungana na mtangazaji wetu mwandamizi Reuben Lukumbuka anakuletea makala sahihi unayoipenda ya muziki ijumaa hii ya marchi 24 202324/03/2023 10:08
-
Muziki Ijumaa MUZIKI IJUMA Karibu kwenye Makala ya Muziki Ijuma. Unaweza kusikiza ombi lako na muziki hapa.17/03/2023 10:23
-
Muziki Ijumaa Burudani hii ni asilimia 100 chaguo la msikilizaji Makala haya yanakuletea Burudani ya Muziki uliochaguliwa na waskilizaji15/07/2022 10:08
-
Muziki Ijumaa Burudani ya muziki na Ali Bilali rfi Kiswahili Makala yako Muziki ijumaa inakuletea mchanganyiko wa burudani waliochaguwa waskilizaji, juma hili usukani unaongozwa na Ali Bilali.25/05/2022 10:00