Muziki Ijumaa
Meninah msanii wa Bongo Fleva anayesumbua katika tasnia ya Muziki
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Muziki Ijumaa Juma hili inakuletea awamu ya kwanza na msanii Meninah, mmoja kati ya wasanii wa kike wanaosumbua katika tasnia ya Muziki wa bongo fleva nchini Tanzania, ambatana naye Ali Billy Bilali katika Makala haya, unaweza pia kumfollow Meninah Instagram: @meninahladivah na Bilali @billy_bilali