Ifahamu kwaya ya vijana ya Kanisa la Anglikana Mtakatifu Albano, Ilala Dar es salaam
Imechapishwa:
Sauti 21:16
Makala ya Nyumba ya Sanaa Jumamosi hii, yanaangazia kwaya ya vijana ya Kanisa la Anglikana la Mtakatifu Albano Ilala jijini Dar es salaam nchini Tanzania.Fahamu kazi yao na malengo yao katika mahojiano na Edmond Lwangi Cheli.