Muziki Ijumaa

Kumbukumbu za Les Wanyika

Imechapishwa:

Bendi ya Les Wanyika ni miongoni mwa bendi zilizopiga fora miaka ya 70 kupitia nyimbo zao kama vile Kajituliza Kasuku, na nyingine, iliundwa na wanamuziki kutoka Tanzania na Kenya waliopiga Kambi jijini Nairobi. wiki hii Ali Bilali anakukumbusha kidogo historia ya bendi hii na nyimbo zake. usikosi pia kumfollow kwa Instagram

John Ngereza wa Bendi ya Les Wanyika
John Ngereza wa Bendi ya Les Wanyika Tamasha
Matangazo ya kibiashara

Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00