Bendi ya Les Wanyika ni miongoni mwa bendi zilizopiga fora miaka ya 70 kupitia nyimbo zao kama vile Kajituliza Kasuku, na nyingine, iliundwa na wanamuziki kutoka Tanzania na Kenya waliopiga Kambi jijini Nairobi. wiki hii Ali Bilali anakukumbusha kidogo historia ya bendi hii na nyimbo zake. usikosi pia kumfollow kwa Instagram
Vipindi vingine
-
21/04/2023 09:59
-
Muziki Ijumaa Muziki na tumbuizo maalum Karibu kuungana na mtangazaji wetu mwandamizi Reuben Lukumbuka anakuletea makala sahihi unayoipenda ya muziki ijumaa hii ya marchi 24 202324/03/2023 10:08
-
Muziki Ijumaa MUZIKI IJUMA Karibu kwenye Makala ya Muziki Ijuma. Unaweza kusikiza ombi lako na muziki hapa.17/03/2023 10:23
-
Muziki Ijumaa Burudani hii ni asilimia 100 chaguo la msikilizaji Makala haya yanakuletea Burudani ya Muziki uliochaguliwa na waskilizaji15/07/2022 10:08
-
Muziki Ijumaa Burudani ya muziki na Ali Bilali rfi Kiswahili Makala yako Muziki ijumaa inakuletea mchanganyiko wa burudani waliochaguwa waskilizaji, juma hili usukani unaongozwa na Ali Bilali.25/05/2022 10:00