Muziki Ijumaa

Mfahamu Mbilia Bel, mwanamuziki wa kwanza mwanamke kuwika duniani

Imechapishwa:

Juma hili makala ya Muziki Ijumaa, inakuletea mwanamuziki mkongwe raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, maarufu akifahamika kama Mbilia Bel, leo mtangazaji wa makala haya anakuletea uchambuzi wa kina wa mwanamuziki huyu, yuko wapi hivi sasa, anafanya nini, na muziki wake uko katika hadhi gani hivi leo?Mtangazaji Emmanuel Makundi anaungana na Edmond Lwangi Tcheli kukuletea yote unayotaka kuyafahamu kuhusu mwanamuziki huyu, mwanamke wa kwanza kupata umaarufu mkubwa duniani kupitia muziki.

RFI
Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00