Muziki Ijumaa

Mwamamuziki Timbulo nchini Tanzania ajinasibu kuirejesha Bongo Fleva

Imechapishwa:

Makala Muziki Ijumaa Juma hili, Ali Bilali amezungumza na mwanamuziki wa bongo Fleva ambae amekuja kwa kasi kubwa  na ngoma yake " Usisahau" ambayo amemshirikisha Baraka De Prince. Hii ni baada ya kukiri kukaa kimya kwa muda wa miaka miwili. Timbulo anasema baada ya kuona Muziki wa Bongo Fleva ukipoteza muekeleo, ameona ni vema kurejesha ile ladha ya Muziki huu wa kizazi kipya nchini Tanzania. Sikiliza Makala haya unaweweza pia kumfollow mtangazaji wako kwa Instagram kwa kuandika @billy_bilali. Video ya kibao hiki Usisahu nimekuwekea pia hapa unaweza kuitazama.

mwanamuziki wa Bongo Fleva Timbulo ndani ya Studio za RFI Kiswahili jijini Dar es salaam na mtangazaji Ali Bilali
mwanamuziki wa Bongo Fleva Timbulo ndani ya Studio za RFI Kiswahili jijini Dar es salaam na mtangazaji Ali Bilali RFI/BILALI
Matangazo ya kibiashara

Vipindi vingine
  • Image carrée
    21/04/2023 09:59
  • Image carrée
    24/03/2023 10:08
  • Image carrée
    17/03/2023 10:23
  • Image carrée
    15/07/2022 10:08
  • Image carrée
    25/05/2022 10:00